• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

JANABI AZINDUA JENGO LA WATOTO NJITI

Posted on: April 28th, 2026

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya kanda ya Afrika Prof. Mohamed Yakub Janabi amezindua jengo la watoto wachanga leo 28, Februari 2026 Wilayani Kwimba


" uzinduzi wa jengo hili kwa shirika la Afya Duniani ni zaidi ya jengo, ni ushahidi kwamba wananchi wanapata huduma katika mazingira sahihi"


Janabi ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kuboresha huduma za Mama na Mtoto, shirika linataka vifo vya mama na mtoto vipungue zaidi kufikia mwaka 2030 kuwe na vifo sabini kati ya vizazi laki moja" Janabi


Amesisitiza kuwa kwa bara la Afrika bado changamoto ya vifo vya watoto chini ya miaka mitano ni kubwa ambapo shirika la Afya linaendelea kujipanga kupunguza vifo hivyo.


Aidha amewapongeza wafadhili Keepa a child alive (KCU) na Doris Foundation kwa kuona umuhimu wa kujenga jengo hilo ili kupunguza vifo vya watoto wachanga.


"mmejenga urithi wa matumaini, kituo hiki kinamaanisha uzima wa mtoto ni jukumu letu sote"amesema Janabi


Awali akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mradi huo Mkurugenzi wa Shirika la Doris Mollel Foundation Bi. Doris amesema mradi huo aliuanzisha baada ya kufika Kwimba kuleta vifaa tiba na kugundua watoto njiti hawana Wodi maalumu ya kutoshereza mahitaji hivyo akaamua kutafuta wadau waliowezesha ujenzi huo.


Doris ametumia nafasi hiyo Kumshukuru mdau kutoka KCU kwa kukubali kufadhili ujenzi wa jengo na vifaa tiba jengo ambalo ni la kisasa na linakwenda kutatua changamoto kwa watoto njiti.


Naye Antonio Luis Mkurugenzi wa Shirika la KCA amesema shirika hilo linafanyakazi ya kuhakikisha watoto wanakuwa salama na walifurahia kupata wazo la kujenga jengo hilo kutoka kwa Doris Foundation " miaka michecha nilikuja Tanzania na nikashuhudia baadhi ya wazazi na watoto wachanga nikapata wazo la kujenga jengo hili, tuko hapa ni kwasababu tunataka kuona watoto njiti wakipata matibabu katika mazingira mazuri" amesema Antonio


Pia Mbunge wa Jimbo la Kwimba Mhe. Cosmas Bulala amempongeza Doris kwa ujenzi wa jengo hilo na amemuahidi kulinda miundombinu ya jengo hilo " leo ni uzinduzi wa matumaini mapya kwa watoto wanaozaliwa Kwimba" amesema

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • MILIONI 246 YATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    March 03, 2026
  • DC LUDIGIJA APOKEA MADAWATI 353 KUTOKA KCA NA DORIS MOLLEL FOUNDATION

    March 01, 2026
  • JANABI AZINDUA JENGO LA WATOTO NJITI

    April 28, 2026
  • WAZIRI KAPINGA AKEMEA WANAOTOROSHA CHOROKO

    February 25, 2026
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.