• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MILIONI 100 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE NA VIJANA

Posted on: November 17th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba imetoa kiasi cha Milioni 100 kwa vikundi vya wanawake na vijana hili limefanyika  tarehe 17/11/2020.Vikundi vya wanawake vilivyopata mkopo huo usio na riba ni 35 ambavyo vimepatiwa milion 78.5 na vikundi 6 vya vijana ambavyo vimepatiwa milion 21.5


Aidha kabla ya fedha hizo kutolewa kwa vikundi hivyo Maafisa maendeleo wameweza kuwapatia elimu ya ujasiriamali ili wakazitumie fedha hizo kuongeza kipato.Bi Happyness Kaali Afisa Maendeleo amesema fedha hizo zikazarishwe ili marejesho yaweze kufanyika kwa wakati ili vikundi vingine ambavyo havijapata viweze kupata mikopo, vilevile amewashauri wanavikundi kukata bima ya Afya iCHF iliyoboreshwa ili wawe na uhakika na matibabu kwani bila Afya bora ujasiriamali hautafanyika kama walivyokusudia

Pia wajasiriamali hao wamehamasishwa kukata vitambulisho vya mjasiriamali ili wanapopata mikopo hiyo wakafanye biashara bila kusumbuliwa.

Afisa biashara Ndug. Barnabas Yawanga akiwahamasisha wajasiriamali kukata vitambulisho vya mjasiriamali.


Wakiongea na waandishi wajasiriamali hao wameishukuru Serikali kwa kuwapatia mikopo isiyo na riba kwani itawasaidia kukuza biashara na kuboresha maisha kwa ujumla .

Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba inaendelea kutekeleza agizo la Serikali la kutoa asilia 10 ya mapato yake ya ndani kwa kuwakopesha wanawake,vijana na walemavu mikopo isiyo na riba.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 26, 2023
  • MKUTANO WA KUELEZEA MAFANIKIO YA MWAKA MMOJA WA MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU March 18, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 20, 2022
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2022/23

    May 19, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA MBOZI MHE. ESTER MAHAWE AKIAMBATANA NA KAMATI YA FEDHA WAMEFANYA ZIARA WILAYANI KWIMBA

    May 16, 2023
  • DC LUDIGIJA AZINDUA ZAHANATI YA NYAMATALA NA KUFUNGUA HUDUMA KATIKA KITUO CHA AFYA ISUNGA

    May 08, 2023
  • DC LUDIGIJA AZINDUA ZAHANATI YA NYAMATALA NA KUFUNGUA HUDUMA KATIKA KITUO CHA AFYA ISUNGA

    May 08, 2023
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.