• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKURUGENZI ASISITIZA TAHADHARI DHIDI YA CORONA KUZINGATIWA KWA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA.

Posted on: June 4th, 2020

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bib. Pendo Malabeja ametembelea shule zenye wanafunzi wa kidato cha sita kuona maandalizi ya mitihani inayotarajia kufanyika tarehe 29 Juni 2020.Bib Pendo ameshauri wakati wa maandalizi ya mitihani taratibu za kiafya ziendelee kuzingatiwa kwa wanafunzi, kuwatawanya katika madarasa, kunawa mikono na kuvaa barakoa kwa wanafunzi na walimu wao.Mkurugenzi amewashauri wanafunzi hao kuutumia mda huu kujisomea na kujiandaa ipasavyo ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao.Aidha amewashauri wajiamini katika kile wanachotarajia kukifanya ili wafanye vizuri.

Katika tukio hilo mwanafunzi wa kidato cha sita wa shule ya sekondari Sumve Elieshi Sulleyson alipata nafasi ya kuongea akamshukuru Mkurugenzi kwa ujio wake katika shule hiyo na kuahidi kuyafanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa na viongozi wote waliofika shuleni hapo.

Matangazo

  • MKUTANO WA KUELEZEA MAFANIKIO YA MWAKA MMOJA WA MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU March 18, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YASISITIZA USAWA

    March 08, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YASISITIZA USAWA

    March 08, 2023
  • MKUU WA WILAYA AZINDUA HUDUMA KATIKA KITUO CHA AFYA KADASHI

    March 04, 2023
  • MKUU WA WILAYA AZINDUA HUDUMA KATIKA KITUO CHA AFYA KADASHI

    March 04, 2023
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.