• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKURUGENZI AZINDUA MAADHIMISHO YA MWEZI WA AFYA NA LISHE KWA MTOTO

Posted on: July 18th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bi. Happiness Msanga amezindua maadhimisho ya mwezi wa Afya na Lishe ya mtoto katika Kituo cha Afya Ngumo. Uzinduzi huo umefanyika leo tarehe 18, Julai 2022.


 Akizindua maadhimisho hayo Bi. Happiness Amewataka wazazi kuhakikisha wananyonyesha watoto wao kwa miezi sita bila kuwapa chakula kingine chochote, amesisitiza kuwa mtoto hapaswi kupewa vyakula tofauti na maziwa mpaka anapofikia miezi sita na kuendelea. 


Mwezi wa Afya na lishe huadhimishwa kila mwaka mwezi wa sita na mwezi wa 12 kwa Watoto wenye umri wa miezi sita hadi miaka mitano, huduma hizi hutolewa pamoja na huduma zingine za kawaida za afya katika vituo vyote vya kutolea huduma za Afya Wilayani.Huduma zinazotolewa ni matone ya vitamini A,upimaji wa hali ya lishe ya mtoto na utoaji wa dawa za minyoo kwa watoto.


 Akiwasilisha taarifa ya uzinduzi wa Lishe Mratibu wa Lishe Emma Kalolo amesema lengo la mwezi wa Afya na Lishe ni kuboresha Afya na kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya magonjwa kwa watoto. Amesisitiza kuwa Wilaya nzima inatarajia kutoa chanjo hizo za matone na dawa za minyoo kwa watoto 114,441 hivyo amewaomba wazazi waliofika kituoni hapo kuwa mabalozi kwa wazazi wengine kuhakikisha wanapeleka watoto kwenye vituo vya Afya ili waweze kupata dawa hizo.


 Akihitimisha uzinduzi huo Mkurugenzi amesema “Huduma za Mwezi wa Afya na Lishe ni muhimu kwa ukuaji na Maendeleo ya mtoto,tumfikie kila mtoto popote alipo ili watoto wetu wapate kinga za Afya bora”

Matangazo

  • MKUTANO WA KUELEZEA MAFANIKIO YA MWAKA MMOJA WA MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU March 18, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC SAMIZI AAGIZA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2023 KURIPOTI SHULENI KWA WAKATI

    December 27, 2022
  • DC SAMIZI AAGIZA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2023 KURIPOTI KWA WAKATI SHULENI

    December 27, 2022
  • MADIWANI WANG'AKA WATAKA WADAIWA SUGU FEDHA ZA MIKOPO 10% KUKAMATWA

    December 15, 2022
  • WATOA HUDUMA ZA MAJI WATAKIWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAJI

    December 14, 2022
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.