• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
  • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKUU WA WILAYA AKEMEA UNYANYASAJI KWA WAJANE

Posted on: September 25th, 2023



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mheshimiwa Ng'wilabuzu Ludigija amewataka Wananchi wenye tabia za kuwanyanyasa wajane hasa kuwanyang'anya mashamba na mali nyingine waache tabia hiyo.


Ameyasema hayo leo Septemba 25,2023 wakati wa ziara yake ya kusikiliza malalamiko na kero za Wananchi iliyofanyika katika Kata ya Kikubiji na Bupamwa


"acheni tabia ya kuchukua mali za wajane na watoto wao kwa kisingizio cha mali za ndugu yenu, hizo mali ni za mjane na watoto wake nyie ndugu wengine tafuteni mali zenu" Ludigija


Mkuu huyo  amewataka viongozi wa vijiji na Kata kuhakikisha wanatatua migogoro ya Ardhi ambayo imeonekana kuwa kero kwa wananchi wengi hasa wanaogombania mashamba ya familia.


Aidha Mheshimiwa Ludigija amewaelekeza wananchi wote waliovamia eneo la Kituo cha Afya Kikubiji kuondoka eneo hilo na kuacha kufanya shughuli za kilimo


"kuanzia leo ni marufuku kufanya shughuli zote kwenye eneo la Kituo cha Afya Kikubiji, Mahakama ilishaamua kesi kwahiyo atakayelima au kufanya kazi yoyote tutamchukulia hatua za kisheria' Ludigija


Mkuu huyo amewataka RUWASA kuweka utaratibu mzuri wa upatikanaji wa maji Ili kuondokana na kero ya kutembea umbali mrefu kutafuta Maji


" niwaelekeze RUWASA mpange ratiba ya upatikanaji wa maji hata kama kwa wiki itakuwa mara moja au mara mbili lakini Kila kata ijue maji yanatoka siku gani na iwe mchana siyo usiku"


Wananchi walioshiriki ziara hiyo wamemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuona umuhimu wa kusikiliza kero na malalamiko na kuyatatua.


Mkuu wa Wilaya ataendelea na ziara hiyo ya kusikiliza malalamiko na kero za wananchi ambapo kesho atakuwa Kata ya Nyamilama na Hungumalwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AMTAKA MKANDARASI KUKAMILISHA JENGO LA UTAWALA KABLA YA DISEMBA 30

    November 28, 2023
  • MKUU WA MKOA WA MWANZA ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA KWIMBA

    November 27, 2023
  • UZINDUZI WA KUTOA DAWA ZA KICHOCHO NA MINYOO KWA WATOTO

    November 23, 2023
  • WAFANYABIASHARA WASHAURIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI

    November 20, 2023
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.