• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WANANCHI WA KWIMBA WAPATIWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI,KINGA YA CORONA NA UMUHIMU WA KUKATA BIMA YA AFYA.

Posted on: August 14th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba kupitia shirika la Amref health Africa kwa kushirikiana na AIRish AID wameweza kutoa elimu kwa wananchi wa Wilaya hii juu ya Afya ya uzazi ambapo wanawake wajawazito wameshauriwa kuchukua tahadhari juu ya dalili mbaya zinazoweza kujitokeza kwao kwa mfano mtoto kutocheza tumboni,miguu kuvimba,kutokwa damu,kutokwa majimaji machafu sehemu zao za siri,maumivu makali ya tumbo na dalili nyingine wawahi kituo cha afya kwaajili ya kupata ushauri wa wataalamu na matibabu.


Aidha wananchi wameshauliwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Vilevile wananchi wameshauliwa kujiunga na bima ya Afya iCHF iliyoboreshwa ambayo ni shilingi elfu thelathini (30,000) kwa familia ya watu sita ili waepukane na usumbufu wa kutafuta pesa za matibabu pindi wanapougua au kuuguliwa. Bima hii inamuwezesha mwananchi kutibiwa Hospitali zote za serikali za ndani ya Wilaya na Hospitali ya Mkoa.

Matangazo

  • TANGAZO LA TIBA KINGA YA POLIO May 12, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA AJIRA YA VEO May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • MKUTANO WA KUELEZEA MAFANIKIO YA MWAKA MMOJA WA MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU March 18, 2022
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WADAU WA PAMBA WATAKIWA KUZINGATIA TARATIBU ZA UNUNUZI WA ZAO HILO

    May 24, 2022
  • WANANCHI WAHIMIZWA UTUNZAJI WA VYANZO VYA MAJI

    May 18, 2022
  • DC KWIMBA AZINDUA UTOAJI KINGA TIBA YA POLIO

    May 18, 2022
  • DC KWIMBA AZINDUA UTOAJI KINGA TIBÀ YA POLIO

    May 18, 2022
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.