Posted on: August 14th, 2025
Haya yamesema na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija wakati akihutubia maadhimisho ya elimu ya watu wazima yaliyofanyika leo 14,Agosti 2025 katika viwanja vya Kwideko....
Posted on: August 8th, 2025
Katika kuhitimisha sherehe za wakulima nanenane wakulima wa mazao mbalimbali wameshindanishwa kutokana na vigezovilivyowekwa na kamati ya maandalizi ya ya sherehe ambapo Mkulima kutoka Kwimba Nd...
Posted on: August 5th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija ameishukuru Taasisi ya Doris Molel Foundation kwa kuona umuhimu wa kujenga jengo la watoto njiti katika Hospitali ya Wilaya ya Kwimba
...