Posted on: August 1st, 2022
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bi. Happiness Msanga anawakaribisha Wananchi wote kutembelea banda la maonyesho la Kwimba ili mkajifunze kilimo cha mazao ya aina mbalimbali yaki...
Posted on: August 1st, 2022
Wananchi washiriki uzinduzi wa uchimbaji wa msingi wa madarasa 14 kwaajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Msingi katika kijiji cha Kadashi leo tarehe 1 Agosti, 2022.
Akiongoza uzinduzi huo Mku...
Posted on: July 25th, 2022
Wananchi wa kijiji cha Kadashi Kata ya Maligisu wameahidi kujitolea mali na nguvu ili kufanikisha uanzishwaji wa ujenzi wa madarasa ya Shule ya Msingi.
Ahadi hizi zimetolewa leo tare...